Fundraising September 15, 2024 – October 1, 2024 About fundraising

Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English...

Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English dictionary

Mulokozi M.M.
5.0 / 0
0 comments
How much do you like this book?
What’s the quality of the file?
Download the book for quality assessment
What’s the quality of the downloaded files?
Publisher: Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Publication date: 2001
Number of pages: 349Kamusi hii ya Kiswahili-Kiingereza ina historia ndefu. Wazo la kutunga kamusi hii ilianzishwa mwaka 1964 na Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili (ambacho kuanzia mwaka 1972 kilijulikana kama Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili). Wazo hili lilibuniwa wakati wa enzi ya Profesa Wilfred H.Whitely, ambaye wakati huo alikuwa ndiye Mkurugenzi wa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili, ikiwa ni miaka 25 baada ya kuchapishwa kwa kamusi ya Johnson ijulikanayo kama Standard Swahili-English Dictionary (1939). Kazi ya utunzi wa kamusi mpya ilianza baada ya shirika lijulikanalo kama Calouste Gulbenkian Foundation kutoa msaada wa pesa kwa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 1964 hadi Octoba 1967 ili kukiwezesha chuo kumwajiri mchunguzi atakayeweza kuifanya kazi hiyo.
Categories:
Language:
swahili
File:
PDF, 3.36 MB
IPFS:
CID , CID Blake2b
swahili0
Read Online
Conversion to is in progress
Conversion to is failed

Most frequently terms